Wednesday, 10 June 2020

Viwanja Vinauzwa Bei nafuu: Bunju na Mapinga

...
Viwanja Bei nafuu: Bunju na Mapinga

Kwa Mapinga; viwanja vipo (Mji mpya) karibu na Kimere resort, km 2 kutoka main road (Dar to Bagamoyo Road).
Hapa vipo viwanja vya:
15/15 bei million 3,
20/20 bei million 6
20/30 bei million 8
20/40 bei million 11
Nusu eka bei million 26
Eka moja bei million 50
Huduma za umeme na maji zipo.

Kwa Bunju; vipo viwanja 4 na Kila kiwanja kina ukubwa wa 25/40 na bei ya kila kiwanja ni tsh 30 million.

Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.
Hakuna dalali, mpigie mhusika: 0757100236


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger