Wednesday 27 May 2020

Msanii Idris Sultan Afikishwa Mahakamani

...
Msanii Idris Sultan  amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kusomewa mashtaka yanayomkabili baada ya kushikiliwa na Polisi kwa takriban siku nane. 

Katika viunga vya mahakama hiyo ameonekana mwanasheria wa msanii huyo, Benedict Ishabakakiba, baba yake Idris na watu wengine

Tutaendelea kukujuza


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger