Monday 30 January 2017

TANGAZO JIPYA LA KAZI MASWAYETU BLOG

...
Habari zenu,

Maswayetu blog inatafuta vijana 10 ambao watafanya kazi na blog hii kwa kupost habari mbalimbali kila zinapotokea na kushare sehemu mbalimbali.


sifa za mwombaji;
uwe na computer/laptop,highyl modified smartphone
internet acces ,
uwe mjanja(mwepesi kuelewa)

idadi:wavulana (3)
          wasichana(7)

Jinsi ya kuomba:

Tuma CV yako kwenda email ifuatayo>>> 


saetk20@gmail.com

NOTE:watu wachache watakaokidhi vigezo ndio watakaojulishwa,ukiona kimya jua haujafanikiwa. 

DEADLINE:FEB 1 2017

IMETOLEWA NA UONGOZI WA MASWAYETU BLOG 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger