Sunday 15 January 2017

HAKUTAKUWA NA FIELD KWA WANAFUNZI WA VYUO WA MWAKA WA KWANZA

...

Leo kumuibuka taharuki kwenye mitandao ya kijamii baada ya taarifa kutolewa na kituo cha habari cha Chennel Ten kuwa hakutakuwa na Mafunzo kwa Vitendo yaani BTP ama Field kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza kuanzia mwaka huu. Taarifa ambayo imetolewa na Waziri wa Elimu, Prof. Ndalichako.
Taarifa hiyo imetolewa leo tarehe 14 katika kipindi cha habari za saa kinachopeperushwa na Channel Ten. Sababu za kutokuwaruhusu wanafunzi wa mwaka wa kwanza kwenda field ni kile kinachosemwa kuwa ni kutokuwa na ukomavu katika taaluma yao.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger