Sunday 26 June 2016

USHAURI WA BURE NINI CHA KUFANYA KWA WANAFUNZI WOTE MLIOKOSA NAFASI ZA KUJIUNGA KIDATO CHA 5 2016

...
Image result for ngao ya tanzania 


Habari zenu wadau wa BLOG PENDWA YA MASWAYETU
,namshukuru allah kwa kuniwezesha kuiona siku hii ya leo tena.
Mada ambayo napenda kuiongelea hapa ni kuhusu vijana wote waliokosa nafasi za kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano july 2016,lakini wanasifa za kujiunga na kidato cha tano,Basi kama wewe au ndugu yako ni mmoja wapo fanya yafuatayo kwa kuangalia lipi linakufaa kwa sasa;

1.SUBIRI SECOND SELECTION
Endapo bado una nia ya kwenda kidato cha tano na umefaulu vizuri,mara nyingi serikali yetu imekuwa sikivu katika kuhakikisha kuwa kila kijana aliefaulu anachaguliwa kujiunga kidato cha tano,huwa inatoa second selection kwa wanafunzi wwenye sifa za kujiunga na kidato cha tano,kwa hiyo kama wewe GPA YAKO ni kuanzia 1.6 au div 3 pts 25  na unahamu na kidato cha tano tafadhali subiri utachaguliwa.

NOTE:usibweteke na kusubiri tu hizo second selection fanya yafuatayo kwani kidato cha TANO sio maisha ,maisha ni popote pale,basi fanya yafuatayo;

2.APPLY UALIMU KUPITIA NACTE
Nacte inahusika na vyuo vya ualimu kwa ngazi ya diploma na kushuka chini,basi naomba ufanye hima uombe ualimu haraka mara tu watakaofungua application,Kama una sifa zifuatazo omba ualimu fasta wakifungua.

EDUCATION PROGRAMS 
The Ministry of Education and Vocational Training in collaboration with the National Council for Technical Education (NACTE) would like to inform the public that Central Admission System (CAS) is now open for new applicants into Teacher Training Institutions for academic year 2016/17
Minimum Entry Requirements:

  1. Ordinary Diploma (Pre Service): Division I – III OR GPA of 1.6 in O’Level
  2. Ordinary Diploma (In Service): Grade IIIA Certificate
  3. Higher Diploma: Two (2) principle passes in A’Level or Ordinary Diploma (NTA 6).
  4. Ordinary Diploma in Laboratory Technology: Passes (D) in Physics, Chemistry, Biology and Mathematics
NOTE:KUNA UWEZEKANO MKUBWA NACTE WAKAFUNGUA APPLICATION UPYA,PLEASE WAKIFUNGUA FANYIA KAZI USHAURI WANGU.

MWISHO:
Endapo utaufanyia kazi ushauri wangu nina imani kubwa malengo yako yatafanikiwa mbele kwa mbele,nakutakia mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Wako,
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger