Tuesday 21 June 2016

Basi la NBS kutoka Dar - Tabora na Basi la Kisbo, yamepata ajali Mbaya Gairo,Morogoro

...





Basi la NBS linalotoka DAR kwenda TABORA limepata ajali mbaya maeneo ya Gairo Morogoro. Watu 4 wafariki na 10 kujeruhiwa katika ajali ya basi la NBS.


Huku ajali nyingine ya basi la KISBO likijeruhi watu kadhaa Morogoro. Basi la Kisbo T895CYL Limepata ajali ya kuparuzana na trailer flatbed eneo la Magubike Kilosa.










Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger