Thursday 23 June 2016

TANGAZO LA KAZI SUMAJKT Guard Ltd

...




                                                                     SHIRIKA LA UZALISHAJI MALI JESHI LA KUJENGA TAIFA
                                                                                            TANGAZO

Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) kupitia Kampuni Tanzu ya SUMAJKT Guard Ltd, linatangaza nafasi za kazi za ulinzi kwa vijana wa Kitanzania wenye sifa, nidhamu na uadilifu waliohitimu mafunzo ya JKT na Mgambo, kuomba nafasi tajwa katika kampuni hiyo.
Vijana hao wawe wenye sifa zifuatazo:-
  1. Awe raia wa Tanzania
  2. Awe anajua kusoma na kuandika
  3. Awe na elimu ya msingi na kuendelea
  4. Awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 30
  5. Awe na afya njema.
Vijana wote watakaofanikiwa kupata nafasi watapatiwa mafunzo maalumu, kabla ya kuanza kazi.

Barua za maombi zinaweza kuwasilishwa kwa mkono, SUMAJKT Guard Ltd Mwenge au kwa
Afisa mtendaji Mkuu,
SUMAJKT
Sanduku la Posta 1694
DAR ES SALAAM.

Mwisho wa kupokea maombi ni Tarehe 25 June 2016
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger