Thursday 30 June 2016

UFAFANUZI KUHUSU SIFA, VIGEZO NA MASHARTI YA KUPATA MKOPO 2016/2017

...
 Tokeo la picha la HESLB
Habari zenu;
Kwanza natumaini mu wazima wa afya,pia kwa upande wangu namshukuru Mungu nipo fresh kabisa.

Leo nimeamua kufafanua kwa kina vigezo na masharti ya Kupata mkopo mwaka wa masomo 2016/2017.

NANI ANAFAA KUPATA MKOPO?

mwanafunzi anaehitaji mkopo lazima akidhi vigezo vifuatavyo;
1.yatima aliepoteza mzazi/wazazi asiezidi miaka 30
2. Mwanafunzi mwenye disiability au mzazi wake hajiwezi asiezidi
     miaka 30 pia awe na cheti
    kinachotambuliwa na doctor wa wilaya.

3.Mwanafunzi anaetoka ktk familia maskini na awe anatambuliwa 
    na jamii.

4.Mwanafunzi ambae alikuwa akisomeshwa na wafadhili kutokana
   na kutokujiweza.


VIGEZO VITAKAVYOKUFANYA UPATE MKOPO 2016/2017.

1.Lazima uwe mtanzania
2.Lazima uombe mkopo thru online system.
3.Lazima uwe umechaguliwa na chuo chochote kikuu either thru TCU au NACTE.
4.lazima awe mwanafunzi aliefaulu na anaendelea na masomo(hii inawahusu waliopo chuoni)
5.Asiwe mwanafunzi anaedhaminiwa na mtu yeyote au organization.

SIFA ZA NYONGEZA ZITAKAZOKUFANYA UPATE MKOPO 2016/2017

1.Kwa form 6 ,Uwe umemaliza kati ya mwaka 2014-2016-DIRECT
2.Kwa  diploma uwe umemaliza kati ya mwaka 2014-2016-INDIRECT

KOZI KIPAUMBELE MWAKA 2016/2017

Zifuatazo ni kozi ambazo ni kipaumbele kwa mwaka wa masomo 2016/2017 ktk kupewa mkopo,kozi hizi zimegawanyika mara mbili Kuna PART A NA PART B

PART A
Priority courses  include: -

i)   Education (Science) and Education (Mathematics);
ii)  Health Sciences (Doctor of Medicine, Dental Surgery,
     Veterinary Medicine, Pharmacy, Nursing, Midwifery, BSc in
     Prosthetics and Orthotics, BSc in  Physiotherapy, BSc in Health
      Laboratory Sciences, BSc in Medical Laboratory Sciences and
     BSc in Radiotherapy Technology) and other Health Sciences;
iii)  All Civil and IrrigationEngineering;
iv)  All Petroleum and Gas Engineering;
 

NOTE:wanafunzi wote mtakaochaguliwa katika kozi hizi za PART A mtapewa mkopo wote bila kuangalia kigezo cha MWAKA ULIOMALIZA SHULE.

 PART B:
wanafunzi hawa wote wanasifa za kupata mkopo,hivyo basi watapewa mkopo kulingana na mahitaji yao waliyonayo tofauti na PART A ambapo wote watapata mkopo bila kuangalia kigezo chochote.

 

Priority courses cluster II include:

i) Engineering Programmes (Civil, Mechanical, Electrical, Mining, Mineral and Processing, Textile, Chemical and Processing, Agriculture, Food and Processing, Automobile, Industrial, Electrical and Electronics, Legal and Industrial Metrology, Maritime Transportation, Marine Engineering Technology, Electronics and Telecommunication, Computer, Computer Science Software, Information Systems and Network, Environmental, Municipal and Industrial Services, and Bio-Processing and Post-Harvest)


iii) Agricultural and Forestry Sciences Programmes (Agriculture, Agronomy, Horticulture, Agricultural Economics and Agribusiness,
Forestry, Aquaculture, Wildlife Management, Life Sciences, and Food Science and Technology)


iv) Animal Sciences and Production


v) Science Programmes (BSc General, BSc in/with Applied Zoology, Botanical, Chemistry, Physics, Biology, Microbiology, Molecular Biology and Biotechnology, Fisheries and Aquaculture, Aquatic Environmental Sciences and Conservation, Geology, Petroleum Geology, Petroleum Chemistry, Mathematics, Mathematics and Statistics, Environmental Science and Management, Environmental Health, Biotechnology and Laboratory, Wildlife and Conservation and Computer)
vi) Land Sciences Programmes (Architecture, Landscape and Architecture, Interior Design, Building Survey, Building Economics, Urban and Regional Planning, Land Management and Valuation, and Geospatial Sciences).


NOTE:wanafunzi wote mtakaochaguliwa kozi hizi ili upate mkopo lazima uwe umemaliza kati ya mwaka 2014-2016


KWA KOZI ZOTE ZA ARTS NA BIASHARA AMBAZO HAZIJAORODHESWA HAPO JUU KTK PART A NA B 

Wanafunzi watakaochagua kozi hizi wanahesabiwa kama wapo katika kozi ambazo ni NON PRIORITY ,hivyo basi WATAPATA MKOPO TU endapo wote waliochagua kozi PRIORITY PART A na B kuwa wamepata.

KAMA UTACHAGULIWA OPEN UNIVERSITY

*wanafunzi wote waliochaguliwa open univeristy watapewa MKOPO wa BOOKS AND STATIONARY ONLY 

ENDAPO UTAPATA MKOPO,HUU NDIO MCHANGANUO

i. Meals and Accommodation charges
ii. Books and Stationery expenses
iii. Special Faculty Requirements expenses
iv. Field Practical Training expenses
v. Research expenses
vi. Tuition Fees


KUHUSU DIVISION I AND II AU UPPER SECOND CLASS KUPEWA MKOPO

Jamani kwa ambao hamuelewi swala hili ni kwamba,hii inawahusu wanafunzi watakaodahiliwa katika kozi za MEDICINE,VETERNARY MEDICINE NA LABORATORY ndio watapewa GRANT,means hawatarudisha pesa yoyote hivyo basi wakimaliza chuo inabidi waifanyie serikali kazi si chini ya miaka 5 kwanza.

JINSI YA KUOMBA MKOPO

A:LIPIA MPESA

1. To get MPESA Menu dial *150*00# (Piga *150*00#)

2. Choose option 4 for Pay by MPESA (Lipa kwa MPESA)
3. Choose option 3 for Choose Business (Chagua aina ya Biashara unayolipa)
4. Enter 8 for Education Services(Ingiza 8 kwa Huduma za Elimu)
5. Enter 2 for HESLB(Ingiza 2 kwa HESLB)
6. Enter 1 for Reference Number (Ingiza 1 kwa namba ya kumbukumbu)
7. Enter Account Number (Ingiza namba yako ya kumbukumbu), which is your formatted 15 character form 4 index number e.g. S0143.0012.2009
8. Enter the amount in Tshs to pay either 30,000 or 10,000 based on your application category
9. Enter your 4 digit PIN
10. Enter 1 to confirm
11. A confirmation Message will be displayed. N.B: Please keep this message privately

B:BONYEZA HAPA KUOMBA>>>>>>>>>>http://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/olas/trans_add

MWISHO

Napenda kumaliza kwa kuwapa wito kwamba muombe mkopo kwani deadline ni 31 july 2016,Hivyo basi mtu asikutishe kuhusu kutopewa mkopo ,kikubwa muombe MUNGU akuongoze katika kujaza form,USIDANGANYE wala kusema uongo,kama baba ako ni MKUU WA MKOA,we andika ukweli.kwani hata mwaka hata miaka iliyopita kulikuwa na non priority course na mkopo walipata.

siku zote UKWELI UMUWEKA MTU FREE! 

NAKUTAKIA MAOMBI MEMA,ILA ENDAPO UTAHITAJI USHAURI /MSAADA NITAKUSAIDIA BE FREE!

NADHANI NIMEJIBU MASWALI YALIYOKUWA YANAWAUMIZA WENGI.

SHARE NA MWENZAKO

wako;
BLOGGER BOY
MASWAYETU BLOG TEAM!
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger