Saturday, 30 April 2016

Applications for Admission into the Undergraduate Degree and Diploma Programmes 2016-2017 -MUHAS

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Applications for Admission into the Undergraduate Degree and Diploma Programmes 2016-2017 Applications are invited from qualified candidates wishing to pursue various Undergraduate degree and Diploma programmes offered by Muhimbili University of Health and Allied Sciences for the academic year 2016/2017. Click here to download the programmes and instruction to...
Share:

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI APRIL TAREHE 30.4.2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ; ...
Share:

Friday, 29 April 2016

MPYA:WIZARA YA AFYA YATANGAZA NAFASI ZA KAZI OCEAN ROAD INSTITUTE 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Nafasi ya kazi, Ocean Road Cancer Insitute Bofya hapa... ...
Share:

MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA CHUO CHA AFYA BUMBULI APRIL 2016/2017

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY NAMES OF SELECTED APPLICANTS [BUMBULI]...
Share:

CHADEMA Yatangaza Kutoshiriki Kura ya Maoni ya Katiba Mpya

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY DK. Vincent Mashinji Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (chadema), amesema kuwa Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi ndiyo msingi imara pekee unaoweza kuweka mifumo na taasisi kwa ajili ya maendeleo ya kweli yatakayogusa maslahi ya Watanzania...
Share:

Spika Apangua tena Kamati za Bunge, Wabunge Wapinga

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Spika wa Bunge, Job Ndugai amefanya mabadiliko mengine ya kamati za Bunge kwa kuwaongeza wabunge wapya na kuwahamisha wengine kwenda kwenye kamati nyingine, jambo ambalo limepingwa na baadhi ya wabunge wakidai linapunguza ufanisi. Juzi, Spika Ndugai (pichani) aliwaongeza...
Share:

DC Wa Kinondoni Ally Hapi Aanza Mapambano Dhidi Ya Watumishi Hewa, Abaini 89 Waliolipwa Zadi Ya Sh Bilioni 1.331

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mkuu  wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi amesema idadi ya watumishi hewa katika wilaya hiyo, imeongezeka hadi kufikia 89 wakiwa wamesababisha hasara ya zaidi ya Sh bilioni moja. Aidha, Hapi amebaini uwepo wa watumishi vivuli 81 katika kada ya ualimu na hivyo...
Share:

Huduma Ya Treni Ya Abiria Kutoka Dar Kwenda Bara Kuanza Tena Jumapili Mei Mosi, 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Treni ya kwanza ya abiria ya Deluxe  kutoka Dar es Salaam kwenda bara itaondoka saa 2 asubuhi siku Jumapili Mei Mosi, 2016 kuelekea Kigoma. Kuanza kwa safari hiyo kunatokana na kutengemaa kwa eneo korofi baina ya  stesheni za  Kilosa mkoani  Morogoro...
Share:

Rais Magufuli Awasili Mkoani Dodoma Kwa Usafiri wa Gari

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma wakati akitokea mjini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli...
Share:

Picha 9 za Jeshi letu la JWTZ Likiwa Katika Uwanja wa Mapambano Huko Congo DRC

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Hapa  kuna Picha Kadhaa za Wanajeshi wetu wa JWTZ  Wakiwa  katika  uwanja wa Mapambano katika Misitu ya Ben Congo DRC. Juzi kati, jeshi letu limetunukiwa  medani na MONUSCO Kwa umahili wake.  ==>Habari hii,picha pamoja na video ni kwa...
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA APRIL TAREHE 29.4.2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger