INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Applications for Admission into the Undergraduate Degree and Diploma Programmes 2016-2017
Applications are invited from qualified candidates wishing to pursue
various Undergraduate degree and Diploma programmes offered by Muhimbili
University of Health and Allied Sciences for the academic year
2016/2017. Click here to download the programmes and instruction to...
Saturday, 30 April 2016
Friday, 29 April 2016
MPYA:WIZARA YA AFYA YATANGAZA NAFASI ZA KAZI OCEAN ROAD INSTITUTE 2016
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Nafasi ya kazi, Ocean Road Cancer Insitute
Bofya hapa...
...
CHADEMA Yatangaza Kutoshiriki Kura ya Maoni ya Katiba Mpya

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
DK.
Vincent Mashinji Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(chadema), amesema kuwa Katiba Mpya inayotokana na maoni ya wananchi
ndiyo msingi imara pekee unaoweza kuweka mifumo na taasisi kwa ajili ya
maendeleo ya kweli yatakayogusa maslahi ya Watanzania...
Spika Apangua tena Kamati za Bunge, Wabunge Wapinga

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Spika wa Bunge, Job Ndugai amefanya mabadiliko mengine ya kamati za
Bunge kwa kuwaongeza wabunge wapya na kuwahamisha wengine kwenda kwenye
kamati nyingine, jambo ambalo limepingwa na baadhi ya wabunge wakidai
linapunguza ufanisi.
Juzi, Spika Ndugai (pichani) aliwaongeza...
DC Wa Kinondoni Ally Hapi Aanza Mapambano Dhidi Ya Watumishi Hewa, Abaini 89 Waliolipwa Zadi Ya Sh Bilioni 1.331

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi amesema idadi ya watumishi hewa
katika wilaya hiyo, imeongezeka hadi kufikia 89 wakiwa wamesababisha
hasara ya zaidi ya Sh bilioni moja.
Aidha,
Hapi amebaini uwepo wa watumishi vivuli 81 katika kada ya ualimu na
hivyo...
Huduma Ya Treni Ya Abiria Kutoka Dar Kwenda Bara Kuanza Tena Jumapili Mei Mosi, 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Treni
ya kwanza ya abiria ya Deluxe kutoka Dar es Salaam kwenda bara
itaondoka saa 2 asubuhi siku Jumapili Mei Mosi, 2016 kuelekea Kigoma.
Kuanza
kwa safari hiyo kunatokana na kutengemaa kwa eneo korofi baina ya
stesheni za Kilosa mkoani Morogoro...
Rais Magufuli Awasili Mkoani Dodoma Kwa Usafiri wa Gari

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili
katika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma wakati akitokea mjini Dar es
Salaam. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli...
Picha 9 za Jeshi letu la JWTZ Likiwa Katika Uwanja wa Mapambano Huko Congo DRC

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Hapa kuna Picha Kadhaa za Wanajeshi wetu wa JWTZ Wakiwa katika uwanja wa Mapambano katika Misitu ya Ben Congo DRC.
Juzi kati, jeshi letu limetunukiwa medani na MONUSCO Kwa umahili wake.
==>Habari hii,picha pamoja na video ni kwa...