INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kama kawaida yetu maswayetu blog leo inakuletea kitu kipya ,hizi ndo mbinu nilizozipata kwa wadau ambazo wezi huzitumia kuiba boda boda;
Kama kawaida yetu maswayetu blog leo inakuletea kitu kipya ,hizi ndo mbinu nilizozipata kwa wadau ambazo wezi huzitumia kuiba boda boda;
1. Kutumia gari
Hapa jamaa wanakuja na roli kubwa au dogo kisha wanapakia kama yao kisha kutokomea wanakojua wao. Hii haijarishi ka umeiloki ilimradi tu imepaki ambapo huioni.
2. Mtu wa karibu
Aweza kuwa mke, mme,rafiki, jirani au mgeni, anakusoma unalala saa ngapi then wanakuja usiku kitu kinaibiwa.
3. Wizi magetini
Hapa jamaa wanawasoma wale wanaolaza pikipiki getini. Wanaruka ukuta na waya au kamba za manira the wa ndani wanainyanyua then wa nje wanaivuta.