Monday 18 March 2024

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI JIJINI MBEYA KUHUDHURIA KONGAMANO LA NNE LA IDHAA ZA KISWAHILI

...

HABARI PICHA.. 






Na Mwandishi Maalum,Mbeya

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amewalisi uwanja wa ndege wa Songwe Jijini Mbeya kwa lengo la kumwakilisha Mheshimiwa Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan  katika Kongamano la Nne la Idhaa za Kiswahili Duniani 2024 katika Hoteli ya Eden Highlands Jijini Mbeya tarehe 18 Machi, 2024. 

Kaulimbiu ya Kongamano hilo ni; “Tasnia ya Habari ni Fursa za Ubidhaishaji Kiswahili Duniani”


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger