Sunday, 31 March 2024

BALOZI DKT. NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU WA KANISA LA NGLCC MKOANI MARA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Ndugu Kassim Majaliwa Majaliwa, alipowasili kushiriki shughuli ya mazishi ya Askofu wa Kanisa la New Life Gospel Community Church (NGLCC),...
Share:

WANAOTOROSHA KOROSHO KWENDA NJE YA NCHI WAONYWA, SIKU ZAO ZINAHESABIKA

Na Oscar Assenga, TANGA. BODI ya Korosho Tanzania Mkoani Tanga imewaonya wakulima wenye tabia za kutorosha Korosho kwenda kuuza nje ya nchi kuacha mara moja kufanya hivyo kwani siku zao zinahesabika kutokana na vyombo vya dola vinawatambua na watapokamatwa watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. Moja...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI MACHI 31, 2024

  ...
Share:

UTEUZI; RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI, UTENGUZI NA UHAMISHO WA VIONGOZI MUDA HUU

...
Share:

Saturday, 30 March 2024

SIMBA SC YASHINDWA KUFURUKUTA MBELE YA AL AHLY, YACHAPWA 1-0

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM KLABU ya Simba imeshindwa kutamba kwenye uwanja wake wa nyumbani mara baada ya kukubali kupokea kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Al Ahly. Katika mchezo huo wa mkondo wa kwanza Al Ahly walifanikiwa kupata bao la Mapema kupitia kwa Ahmed Kouka dakika ya 4 ya mchezo...
Share:

DAWA KIBOKO KWA NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya tendo la ndoa kikamilifu ,shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kutokuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba. CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU...
Share:

MBUNGE WA SIMANJIRO OLE SENDEKA ASHAMBULIWA KWA RISASI

Mbunge wa jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka inadaiwa amenusurika Kifo baada ya Gari lake kushambuliwa kwa Risasi na watu wasiojulikana. Taarifa mbalimbali zilizosambaa katika mitandao ya kijamii zinaeleza tukio hilo  limetokea eneo la Ndaleta, wilayani Kiteto wakati...
Share:

Friday, 29 March 2024

WATANZAMIA TUMIENI FURSA KUPELEKA BIDHAA UINGEREZA

-Dkt. Kijaji: Watanzania tumieni fursa kupeleka bidhaa Uingereza. Serikali imewashauri watanzania kutumia fursa ya mpango wa biashara wa Nchi zinazoendelea kwa kuhakikisha wanapeleka bidhaa katika nchi ya Uingereza ili kukuza Uchumi pamoja na pato la Taifa. Mpango huo mpya umeanza kutumika mwaka...
Share:

NTOBI ANG'ARA... ATOBOA TENA UENYEKITI CHADEMA SHINYANGA

  Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Shinyanga , Emmanuel Ntobi, ameshinda kuwa Mwenyekiti wa Chama hicho mkoani humo, katika uchaguzi wa Machi 28, 2024.  Katika uchaguzi huo Ntobi alikuwa akichuana na Peter Machaga ambaye alipata kura 26, Ntobi 26...
Share:

MAADHIMISHO SIKU YA VIWANGO AFRIKA; TBS YATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA MASHINDANO YA INSHA.

Shirika la Viwango Tanzania ( TBS ) , Leo Machi 28, 2024 limeadhimisha siku ya viwango Afrika na kutoa vyeti na zawadi kwa Washindi 10 Bora wa Mashindano ya Insha ambapo Washindi wa nafasi tatu za Mwanzo ( waliopewa Zawadi za Fedha Taslimu) watashiriki Mashindano ya Insha Afrika. Akizungumza katika...
Share:

Thursday, 28 March 2024

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA MACHI 29, 2024

Magazeti   ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger