Sunday 9 August 2020

Picha : MKURUGENZI MKUU WA TIGO KATIKA MAONESHO YA NANE NANE MKOANI SIMIYU

...

Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari akinawa mikono kama moja ya njia za kujikinga na Ugonjwa wa Corona mara alipotembelea katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu. 
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari akipata maelezo mbali mbali kutoka kwa maafisa wa Tigo kuhusu huduma na ofa mbalimbali Katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya nyakabindi Mkoa wa Simiyu. 
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari akizungumza na maofisa wa Tigo mara alipotembelea katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu.
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari akisikiliza maelekezo kutoka kwa ofisa kutoka Moja ya Mabanda ya bodi za kilimo mapema leo alipotembelea katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari akipata maelezo kuhusu Ofa mbali mbali zinazotolewa katika Banda la Tigo mara alipotembelea katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu.
Burudani zikiendelea katika jukwaa la Tigo wakati wa Maonesho ya Nane Nane yakiendelea katika vivanda via Nyakabindi Mkoani Simiyu 

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger