Madson property limited inakuletea mkopo nafuu kabisa wa viwanja na mashamba usio kuwa na riba wala dhamana yoyote ile.
Viwanja vyetu vipo maeneo yafuatayo;
-Goba Rastanza bei 45,000 kwa Sqm
-Mbweni bei 45,000 kwa Sqm
-Madale flamingo bei 40,000 kwa Sqm
-Madale mivumoni bei 33,000 kwa sqm
-Mbezi Luguruni bei 35,000 kwa Sqm
-Bunju bei 20,000 kwa Sqm
-Kigamboni (Gezaulole block 17 & C ) bei 18,000 kwa Sqm
-Kigamboni (mwongozo malimbika) bei 12,000 kwa Sqm
- Vigwaza (Mashamba) bei 2,000,000 kwa Hekari moja
NB: Viwanja vyetu vyote vimepimwa na vina hati kabisa aidha mteja atakabidhiwa hati miliki ya kiwanja husika mara tu baada ya kukamilisha malipo husika kwa 100%
Ofisi zetu zipo jengo la MWENGE TOWER ghorofa ya tano tupo opposite/mkabala na Mlimani city.
Tupigie kwa namba zifuatazo
- Tigo 0677307772
-Airtel 0684548120
-Voda 0742864774
0 comments:
Post a Comment