Wednesday, 16 October 2019

ANGALIA HAPA MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI GAMBOSI..ILIYOPO KIJIJI CHA GAMBOSHI

...
Shule ya Msingi Gambosi iliyopo katika kijiji Maarufu nchini Tanzania cha Gamboshi kata ya Gamboshi halmashauri ya wilaya ya Bariadi Vijijini Mkoani Simiyu ni miongoni mwa shule zilizofanya vizuri katika Matokeo ya Darasa la Saba mwaka 2019.



 Shule ya Msingi Gambosi inayoangukia kwenye kundi la shule zenye wanafunzi 40 au zaidi imeshika nafasi ya 17 kati ya 58 za halmashauri ya Bariadi Vijijini, ya 26 kati ya shule 357 kimkoa huku ikishika nafasi ya 434 kati ya shule 9929 kitaifa ikiwa na watahiniwa 65.




Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger