Shule ya Msingi Gambosi inayoangukia kwenye kundi la shule zenye wanafunzi 40 au zaidi imeshika nafasi ya 17 kati ya 58 za halmashauri ya Bariadi Vijijini, ya 26 kati ya shule 357 kimkoa huku ikishika nafasi ya 434 kati ya shule 9929 kitaifa ikiwa na watahiniwa 65.
Wednesday, 16 October 2019
ANGALIA HAPA MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI GAMBOSI..ILIYOPO KIJIJI CHA GAMBOSHI
Shule ya Msingi Gambosi inayoangukia kwenye kundi la shule zenye wanafunzi 40 au zaidi imeshika nafasi ya 17 kati ya 58 za halmashauri ya Bariadi Vijijini, ya 26 kati ya shule 357 kimkoa huku ikishika nafasi ya 434 kati ya shule 9929 kitaifa ikiwa na watahiniwa 65.
0 comments:
Post a Comment