Friday 3 April 2015

NEWS:"SOMA HAPA SIFA ZA KUJIUNGA NA KOZI ZA "UDOM NGAZI YA CHETI,DIPLOMA NA DIGRII MWAKA WA MASOMO 2015/16"

...
INNOCENT THE BLOGGER BOY
                 slide2
Habari zenu wadau wapendwa wa blog hii pendwa ya MASWAYETU BLOG Kama kawaida yetu kazi yetu ni kuzidi kuwapa raha na furaha wadau wetu na watembeleaji wa blog hii pendwa.

Leo tunapenda kukupa mwangaza na ufahamu kuhusu Cheti,diploma na digrii zitolewazo chuo kikuu cha UDOM 2015/16 na sifa zake za kujiunga na diploma hizo.
NOTE
Kwa kuanza napenda kuanza na kozi za cheti  ambazo zenyewe wanachukua ufaulu usiopungua D NNE katika msomo husika ya kzoi mfano,arts uwe umefaulu masomo manne ya lugha,science uwe umefaulu masomo manne ya sayansi na iashara uwe umefaulu masomo ya biashara including mathematics
Ambapo kwa matokeo ya mwaka huu wanaanzia GPA YA 1.6

1.CHETI
Kuna kozi mbalimbali zitolewzo na Chuo kikuu cha UDOM ngazi ya cheti,nazo ni;
1  Certificate in Journalism
2  Certificate in Film Production

3  Certificate in Fine Arts and Design

4  Certificate in Tourism and Cultural Heritage

5  Astashahada ya Kiswahili
      SIFA(Awe  amehitimukidato channe na amefaulu masomo manne yalugha na sanaa)
.

6  Certificate in Accounting or finance or Banking


7  Certificate in Marketing

8  Certificate in Procurement & Logistics Management
9 Certificate in Tourism Management

10  Certificate in Project Planning and Management (CPM

11  Certificate in Social Work and Community Development (CSCD)
12 Certificate in Public Administration and Management (CPAM)
13  Certificate in Educational Technology

14  Certificate in Multimedia Technology
15  Certificate in Graphic Design

16  Certificate in Information and Communication Technology

17  Certificate in Computer Applications and Office Administration

18  Certificate in Web Technology

19  Certificate in Office Equipment Repair and Maintenance

20  Certificate in Computer Networks

21  Certificate in Geo Sciences

22  Certificate in Apiculture (Beekeeping

23  Certificate in Statistics

Kwa kuangalia kozi hizo hapo juu napenda kuwaambia wadogo zangu kuwa muanze kuomba mapema kwani deadline ni tarehe 30th june 2015.
mwandishi ni blogger boy(innocent)
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger