


Tukio hilo limetokea jana mjini Moshi ambapo majambazi wanne
waliokuwa kwenye pikipiki walivamia gari la Bonite lililokuwa likitoka
kuchukua pesa za mauzo ya kampuni hiyo.
Taarifa zinadai kuwa dereva na mlinzi wa gari lililoshambuliwa
walifariki palepale kutokana na kupigwa risasi nyingi sehemu mbalimbali
za miili yao.
SOURCE:bongonewstz.com
0 comments:
Post a Comment