Monday 18 December 2023

Picha : WAANDISHI WA HABARI 120 MIKOA YA SHINYANGA, SIMIYU, GEITA NA TABORA WAPEWA SEMINA YA UWASILISHAJI , USAMBAZAJI NA UHAMASISHAJI WA MATUMIZI YA MATOKEO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022

...

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akifungua Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yaliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa waandishi wa habari 120 wanachama wa Klabu za Waandishi wa Habari (Press Clubs) kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora leo Jumatatu Desemba 18,2023 katika ukumbi wa Karena Hotel Mjini Shinyanga.

Mafunzo hayo yanayofanyika kuanzia Desemba 18,2023 hadi Desemba 19,2023 yanalenga kuvijengea uwezo vyombo vya Habari nchini katika kuchambua na kutafsiri matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ili waweze kutekeleza majukumu yao ambayo ni pamoja na kuelimisha na kuhabarisha umma kuhusu matokeo hayo na kuhamasisha matumizi yake kwa ufanisi na weledi. 

Katika mafunzo hayo washiriki wanajifunza namna ya kupata na kusambaza matokeo, kuchambua na kutafsiri, kutapatiwa maarifa ya matumizi ya takwimu za Sensa katika kuandika habari na kuelimisha jamii kuhusu namna ya matumizi yake lakini pia kuwajengea uwezo washiriki kuhusu namna ya kutumia matokeo ya Sensa katika kufanya maamuzi na kutekeleza mipango na programu za maendeleo.

Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akifungua Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora- Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akifungua Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akifungua Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akifungua Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akifungua Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akizungumza wakati akifungua Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yaliyoandaliwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa waandishi wa habari 120 wanachama wa Klabu za Waandishi wa Habari (Press Clubs)  kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora leo Jumatatu Desemba 18,2023 katika ukumbi wa Karena Hotel Mjini Shinyanga.
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Moses Tesha akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Meneja Takwimu Mkoa wa Shinyanga Eliud Kamendu akizungumza kwa niaba ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Meneja Takwimu Mkoa wa Shinyanga Eliud Kamendu akizungumza kwa niaba ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga, Greyson Kakuru akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga, Greyson Kakuru akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga, Greyson Kakuru akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mtaalamu wa Habari na Mawasiliano NBS, Said Ameir akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mtaalamu wa Habari na Mawasiliano NBS, Said Ameir akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mtaalamu wa Habari na Mawasiliano NBS, Said Ameir akizungumza wakati wa Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 kwa waandishi wa habari kutoka Mikoa ya Shinyanga, Simiyu, Geita na Tabora
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi (kulia).

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Johari Samizi (kulia).
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme (kulia) akiteta jambo na Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi (2022) Mhe. Anne Makinda

Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 
Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 
Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 

Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 
Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 
Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 



Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 
Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 
Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 
Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 
Waandishi wa habari wakiwa kwenye Semina ya Uwasilishaji , Usambazaji na Uhamasishaji wa Matumizi ya Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 .

Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger