Monday, 31 May 2021

JAJI MKUU PROF JUMA AWATAKA MAJAJI KUZINGATIA MAADILI ,UADILIFU NA KUMTANGULIZA MUNGU MBELE

Jaji mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma akifungua mafunzo hayo Jaji mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma amewataka majaji wa mahakama ya rufaa na mahakama kuu kutoogopa kusema au kutoa taarifa katika vyombo husika wanapobaini mapungufu katika sheria. Jaji Mkuu Juma ametoa rai hiyo wakati akifungua...
Share:

TBS NA KEBS KUSHIRIKIANA KUONDOA VIKWANZO VYA KIBIASHARA

MASHIRIKA ya viwango ya Kenya na Tanzania yamejipanga kuhakikisha yanashirikiana ili kuhakikisha hakuna vikwazo vya kibiashara vinavyohusiana na viwango vinavyoweza kutokeaa baina ya nchi hizo biashara. Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Dkt. Yusuf Ngenya, wakati...
Share:

Tiba Bora Ya Tatizo La Nguvu za Kiume

Je, unakosa hamu ya tendo la NDOA? Una upungufu wa nguvu za kiume au maumbile madogo ya UUME?Changamoto hizi zimesababisha wanaume wengi kushindwa kumudu tendo la NDOA nakusababisha wenza wao kutoka nje ya ndoa au mahusiano. Zijue dalili na tiba sahihi ya matatizo hayo kama ifuatavyo:-    ...
Share:

JAFO ATOA MIEZI MIWILI KWA UONGOZI WA KIWANDA CHA QUAIM STEEL MILLS KUHAKIKISHA WANADHIBITI MOSHI

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo akitoa maelekezo kwa viongozi wa kiwanda cha Quaim Steel Mills limited mara baada ya kutembelea kiwanda hicho katika ziara yake ya kikazi ya kukagua uzingatiaji wa Sheria ya Mazingira katika viwanda vinavyozalisha...
Share:

Prof. Mkumbo: Serikali Inaendelea Kuboresha Mazingira Ya Biashara Mpakani, Wafanyabiasha Zingatieni Sheria Na Taratibu Za Kufanya Biashara.

Na Eliud Rwechungura Waziri wa Viwanda na Biashara, Prof. Kitila Mkumbo (Mb) amewahakikishia Wafanyabiashara kuwa Serikali inaendelea kuboresha mazingira ili kuhakikisha wanafanikiwa huku akiwahasa wafanyabiashara wa Tanzania na Kenya kuzingazia Sheria na taratibu zilizowekwa ndani ya Jumuiya ya...
Share:

ANAYEDAIWA KUWA JAMBAZI AUAWA KWA KUPIGWA RISASI SHINYANGA MJINI

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Debora Magiligimba akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Mwanaume aliyejulikana kwa jina la Idd Masasi (43) anayedaiwa kuwa ni Jambazi amefariki dunia baada ya kupigwa risasi mguuni na mgongoni na askari polisi wakati akijaribu...
Share:

Ajenda Kuu Ya Serikali Ni Kujitegemea Katika Uzalishaji Mbegu-waziri Mkenda

Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Arusha Katika kuendeleza ushirikiano na Sekta binafsi, ambalo ni jukumu la kisheria la Serikali kuhamasisha sekta binafsi katika uzalishaji wa Mbegu Bora, Waziri wa Kilimo Mhe Prof Adolf Mkenda katika ziara yake Jijini Arusha, leo tarehe 30 Mei 2021 ametembelea...
Share:

BABA MTAKATIFU FRANSISCO AMTEUA MSIMBE KUWA ASKOFU JIMBO LA MOROGORO

 ...
Share:

SHINDANO LA MISS KAHAMA KUFANYIKA JUMAMOSI HII JUNI 5

Mkuu wa wilaya ya Kahama Mhe. Anamringi Macha (wa tano kulia)  akiwa na mwaandaaji wa Mashindano ya Miss Kahama, Peter  Frank Alex pamoja na baadhi ya washiriki wa shindano la Miss Kahama 2021 Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog Shindano la Urembo kutafuta mlimbwende wa Kahama ‘Miss Kahama...
Share:

OSHA YAZINDUA MPANGO WA KUSAJILI NA KUKAGUA MAENEO YA WAJASIRIAMALI WADOGO

Mkufunzi wa Huduma ya Kwanza kutoka OSHA, Moteswa Meda, akionyesha namna ya kumhudumia mfanyakazi aliyezimia katika eneo la kazi wakati wa mafunzo ya usalama na afya yaliyotolewa na OSHA kwa wajasiriamali wadogo walioshiriki maonesho katika kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi Kahama. Mkuu wa...
Share:

RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA USHIRIKIANO WA ELIMU DUNIANI (GPE)

Bodi ya Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) imemkaribisha Rais mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete kuwa Mwenyekiti mteule wa Bodi ya Wakurugenzi pamoja na Mwenyekiti wa Baraza la Shule ya Uchumi na Sayansi ya Siasa ya London, Dk. San Liautaud kuwa, Makamu Mwenyekiti mteule. Dk. Kikwete na Makamu...
Share:

SHAMBA LENYE EKARI 100 LINAUZWA,LIMEPIMWA

Shamba lenye Ekari 100 ambalo tayari limeishapimwa linauzwa . Mahali: Shungumbweni, Mkuranga karibu na Kiwanda cha Chumvi Neel Salt Bei: Mil.150,000,000 (mazungumzo yapo) . Umbali: Kilomita 5 kutoka baharini, Kilomita 26 kutoka barabara kuu ya Dar-Lindi, (Unaweza Ingilia kwa njia ya Kibada-Mwasonga...
Share:

WASH Specialist, NOD, FT at UNICEF

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Job no: 535233 Contract type: Fixed Term Appointment Level: NO-4 Location: Tanzania,Uni.Re Categories: WASH (Water, Sanitation and Hygiene), NO-4 UNICEF works in some of the world’s toughest places, to reach the world’s most disadvantaged children in order to...
Share:

CAMILIUS WAMBURA ATEULIWA KUWA MKURUGENZI WA UPELELEZI WA MAKOSA YA JINAI (DCI)

CP Camilius Wambura, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) mteule  ** Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amempandisha cheo aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Camilius Wambura, na kuwa Kamishna wa Polisi (CP) ambapo pia amemteua...
Share:

Regulatory Compliance Specialist at Vodacom

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit, together with technology, that empowers us to achieve this. We challenge and innovate in order to connect people, businesses,...
Share:

Assistant Facilities Supervisor at International School Of Tanganyika

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Title Assistant Facilities Supervisor Reports to: Facilities/Site Supervisor Department: Operations Start date: June, 2021 IST Foundational Documents IST Mission Challenging, inspiring and supporting all our students to fulfil their potential and improve the world IST Vision IST will...
Share:

Library Assistant at International School Of Tanganyika

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content Title Library  Assistant Category   (cf Policy 5.101) Teaching Assistance Reports to: Elementary School Principal    Department: Elementary School Job Holder     Start date: 1 August 2021   IST Foundational Documents IST Mission Challenging, inspiring...
Share:

Regional Managing Director at Nature Conservancy

This this content has been copied from Udahiliportal , please kindly visit udahiliportal.com to access full content A LITTLE ABOUT US Founded in 1951, the Nature Conservancy (TNC) is a global conservation organization dedicated to conserving the lands and waters on which all life depends. Guided by science, we create innovative, on-the-ground and scalable solutions to our world’s toughest challenges...
Share:

KONGAMANO WOMEN'S FOR CHANGE LATIKISA SHINYANGA ANTI SADAKA, MAHIBA, PASTOR MGOGO WATEMA CHECHE

 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Hoja Mahiba, na Mwenyekiti wa Chama cha Women's For Change, Getrude (kushoto) wakikata Keki kufungua Kongamano la Wanawake Mkoani Shinyanga (Shy Women's Day Out) Na Marco Maduhu, Shinyanga Kongamano la Chama Cha Wanawake mkoani...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger