Thursday 24 August 2023

DKT. BITEKO AWATAKA WATUMISHI MADINI MTWARA KUSHIRIKIANA

...




Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko leo Agosti 24, 2023 ametembelea na kuzungumza na watumishi wa Ofisi ya Madini Mkazi Mkoa wa Mtwara.

Aidha, Dkt.Biteko amekutana na kuzungumza na Uongozi wa Wachimbaji Wadogo wa madini Mkoani Mtwara.



Taarifa rasmi itawasilishwa. Zifuatazo ni baadhi ya picha katika kikao hicho kifupi.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger