Thursday, 31 August 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA SEPTEMBA 1, 2023

...
Share:

SERIKALI KUANDAA MWONGOZO WA UWIANO WA KIJINSIA ILI KUONDOA UKATILI

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju, akizungumza wakati wa Semina Elekezi ya Usambazaji wa Mwongozo wa Mafunzo ya uwiano wa Kijinsia na Ujumuishaji Jamii katika huduma za ustawi wa Jami kwa Maafisa Ustawi wa Jamii wa Wizara za Kisekta,...
Share:

NILISHINDA FEDHA NYINGI ZA KAMARI HADI NIKAWA NATISHIWA MAISHA!

Jina langu ni Shadrack, nilikuwa mtu ambaye niliamini michezo ya kamari, mara kwa mara nilicheza michezo hii kwani niliamini kuwa siku moja ningweza kupata fedha nyingi kutokana na michezo hii. Marafiki zangu wengi walikuwa wameshakata tamaa kutokana na kuliwa fedha zao tu kila wakati bila wao...
Share:

Wednesday, 30 August 2023

JAMII YATAKIWA KUWAPA NAFASI WANAWAKE KWENYE UONGOZI

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM JAMII imetakiwa kuachana na imani potofu zinazomkandamiza mwanamke ili chaguzi zijazo, wanawake wengi wajitokeze kwa wingi katika kugombea uongozi kwenye nafasi mbalimbali kwani uwepo wao kwenye uongozi inaleta chachu ya maendeleo kwenye jamii. Ushauri huo umetolewa...
Share:

WAANDISHI WA HABARI SHINYANGA WATEMBELEA BANDARI ZA ZIWA VICTORIA NA BANDARI YA NCHI KAVU ISAKA

Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga leo Jumatano Agosti 30,2023 wametembelea Bandari zinazosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa ajili ya kujionea na kujifunza namna zinazovyofanya kazi.  Bandari walizotembelea ni pamoja na Bandari ya Nchi Kavu ya Isaka wilayani...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger