Wednesday 21 June 2023

Picha : TCRA YAENDESHA SEMINA KWA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA SHINYANGA...."MSITUMIE VISHOKA KUANZISHA VYOMBO VYA HABARI"

...

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati wa Semina kwa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga kuhusu Majukumu ya TCRA na Sheria na Kanuni zinazosimamia sekta ya Mawasiliano ya kielektroniki na posta iliyofanyika leo Jumatano Juni 21,2023 katika Ukumbi wa Empire Hotel Mjini Shinyanga.

Mhandisi Mihayo amesema lengo kuu la kutoa elimu hiyo ni kuhakikisha waandishi wa habari  wanatambua majukumu ya TCRA na kuzijua sheria na taratibu ili wafanye kazi vizuri pamoja kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi. 

Mhandisi Mihayo ametumia fursa hiyo kuwatahadharisha wadau wa mawasiliano wanaotaka kuanzisha vyombo vya habari mfano Redio kuepuka kutumia vishoka ili kupata huduma badala yake wawasiliane na TCRA ili kusaidia kupata huduma.

Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati wa Semina kwa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga kuhusu Majukumu ya TCRA na Sheria na Kanuni zinazosimamia sekta ya Mawasiliano ya kielektroniki na posta
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati wa Semina kwa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga kuhusu Majukumu ya TCRA na Sheria na Kanuni zinazosimamia sekta ya Mawasiliano ya kielektroniki na posta
Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa Mhandisi Francis Mihayo akizungumza wakati wa Semina kwa Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga kuhusu Majukumu ya TCRA na Sheria na Kanuni zinazosimamia sekta ya Mawasiliano ya kielektroniki na posta




Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger