Sunday 16 January 2022

AJALI YA TRENI YAJERUHI NA KUSABABISHA KIFO CHA MTOTO TANGA

...


Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa taarifa kuwa Treni ya abiria yenye injini namba 9022 imepata ajali majira ya saa 10 Alfajiri kati ya Mkalamo na Mvave Wilaya ya Pangani Mkoani Tanga January 16,2022 ikiwa inatokea Arusha kuelekea Dar es salaam ikiwa na behewa 14 zenye abiria 700 ambapo behewa 5 zilipinduka na nyingine 4 ziliacha njia na kupelekea majeruhi watano na kifo cha Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka saba.

Shirika la Reli limesema linaendelea kufuatilia kwa ukaribu kufahamu chanzo cha ajali hiyo ili kuchukua hatua.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger