Thursday 20 January 2022

5G YAHARIBU SAFARI ZA NDEGE MAREKANI

...

Mashirika makubwa ya ndege Emirates, Air India, Air Nippon na Japan Airlines yamesitisha safari zake za kwenda Marekani kutokana na huduma ya mtandao wa 5G.

Jana asubuhi huduma ya mtandao wa 5G ilianza kutumika nchini Marekani kwa kuwashwa minara 4500 ya 5G.

Mashirika hayo ya ndege yamesitisha huduma zake nchini Marekani kwa madai kwamba mtandao wa 5G unaingilia mawasiliano ya ndege. Ndege za Boeing 777 mawasiliano yake huathiriwa na huduma ya 5G na kufanya kampuni hizo zitumie ndege nyingine.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger