Wednesday 15 December 2021

Picha : MISA TANZANIA YAKUTANA NA WAMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI KUCHOCHEA UWAZI, HAKI NA DEMOKRASIA

...

Mwandishi wa Habari Mwandamizi nchini Tanzania Jenerali Ulimwengu akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Taasisi ya vyombo vya Habari Kusini mwa Jangwa la Sahara (Media Institute of Southern Africa - MISA Tanzania) imeendesha Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.

Mjadala huo umefanyika leo Jumatano Desemba 15,2021 jijini Dodoma ukiwa na lengo la kuwajengea uelewa wamiliki wa vyombo vya habari kuhusu kazi ya vyombo vya habari kwenye kuchochea uwazi, haki na demokrasia.

Lengo jingine la mjadala huo ulioongozwa na Waandishi wa Habari Waandamizi nchini Jesse Kwayu na Jenerali Ulimwengu ni kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazoathiri uhuru wa kiuhariri unaosababisha kutokuwepo kwa uhuru wa kiuhariri kwenye vyombo vya habari unapelekea vyombo vya habari kushindwa kutekeleza majukumu yake ya kusaidia jamii.
Mweka Hazina wa MISA Tanzania, Michael Gwimile akifungua Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri kwa niaba na Mwenyekiti wa MISA Tanzania Salome Kitomari leo Jumatano Desemba 15,2021. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
 Mweka Hazina wa MISA Tanzania, Michael Gwimile akifungua Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri kwa niaba na Mwenyekiti wa MISA Tanzania, Salome Kitomari.
Kaimu Mkurugenzi wa MISA Tanzania, Andrew Marawiti akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.
Kaimu Mkurugenzi wa MISA Tanzania, Andrew Marawiti akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.
Afisa Habari na Msimamizi wa Miradi MISA Tanzania,  Jacqueline Jones akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.
Afisa Habari na Msimamizi wa Miradi MISA Tanzania,  Jacqueline Jones akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.
Mwandishi wa Habari Mwandamizi nchini Tanzania Jenerali Ulimwengu akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.
Mwandishi wa Habari Mwandamizi nchini Tanzania Jenerali Ulimwengu akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.
Mwandishi wa Habari Mwandamizi nchini Tanzania Jenerali Ulimwengu akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.
Mwandishi wa Habari Mwandamizi nchini Tanzania Jesse Kwayu akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.
Mwandishi wa Habari Mwandamizi nchini Tanzania Jesse Kwayu akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.

Mwandishi wa Habari Mwandamizi nchini Tanzania Jesse Kwayu akizungumza wakati wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri.
Washiriki wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri wakiwa ukumbini
Washiriki wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri wakiwa ukumbini
Washiriki wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri wakiwa ukumbini
Washiriki wa Mjadala kwa wamiliki wa vyombo vya habari nchini kuhusu nafasi ya vyombo vya habari na Uhuru wa Kiuhariri wakiwa ukumbini.

Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger