Friday 31 December 2021

MWANAMKE AJIFANYA KAHABA, AWALEWESHA WANAUME KISHA KUWAIBIA

...


JESHI la Polisi nchini Kenya wanamshikilia mwanamama Joyce Aluta wa Mombasa kwa kosa la kuwawekea wanaume dawa za kulevya kwenye pombe na kisha kuwaibia vitu mbalimbali kama simu, saa, viatu, wallet na pesa.

Joyce mwenyeji wa eneo la Kisimani, Nyali anadaiwa wakati mwingine kujifanya kahaba na kisha akiondoka na mteja mpaka nyumbani kwake huondoka na TV, Radio, Computer na vitu vingine.

Polisi wanamshikilia Joyce na wamefanikiwa kupata baadhi ya vitu alivyowaibia wanaume hao simu, viatu na fedha taslimu na sasa anasubiri uchunguzi ukamilike ili apandishwe kizimbani kujibu tuhuma zinazomkabili.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger