Tuesday 2 June 2020

Visa Vipya 32 Vya Corona Vyaongezeka Uganda, Maambukizi Yafikia 489

...
Wizara ya Afya nchini Uganda  imerekodi visa vipya 32 vya COVID19 nchini humo na idadi ya maambukizi hadi sasa ni 489, Wagonjwa wapya wote ni raia wa Uganda.

19 kati yao ni madereva wa malori , 13 waliosalia ni watu waliokuwa karibu na wagonjwa ambao tayari wamethibitishwa kuwa na virusi vya Corona.




Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger