Wednesday 3 June 2020

Rais Magufuli Ampandisha Cheo Mkuu Wa JKT Meja Jenerali Charles Mbuge

...
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli akimvalisha cheo kipya, Meja Jenerali Charles Mbuge, baada ya kupandishwa cheo leo tarehe 3 Jun 2020 Makao Makuu ya JWTZ ya Muda yaliyopo Msalato Jijini Dodoma.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance akimpongeza Meja Jenerali Charles Mbuge muda mfupi baada ya kumvalisha cheo kipya cha Meja Jenerali, leo tarehe 3 Jun 2020 Makao Makuu ya JWTZ ya Muda yaliyopo Msalato Jijini Dodoma.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger