Mwaka 2020 ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu Tanzania... Msanii Nyanda Majabala 'Kisima' kutoka Bariadi mkoani Simiyu anakualika kutazama video yake mpya inaitwa Amani!!.. Imetengenezwa Makula Studio...Kisima Kazungumzia mambo kadhaa kuhusu masuala ya uchaguzi!!
0 comments:
Post a Comment