Thursday, 14 May 2020

Wagonjwa Wa Corona Nchini Uganda Wafika 139 Baada Ya Wengine 13 Kuongezeka

...
Taarifa ya Wizara ya afya nchini uganda kwa vyombo vya habari inaashiria maambukizi mapya 13 ya kirusi cha Corona na kuifikisha idadi ya visa kuwa 139.

Wagonjwa wapya wote ni Madereva wa Malori ambapo kati yao Waganda ni 7, Wakenya 5 na Raia wa Eritrea mmoja  aliyepitia Sudan Kusini,Kenya,Tanzania na kisha Uganda kupitia mpaka wa Mtukula.

Takribani sampuli 2,104 zimefanyiwa vipimo,miongoni mwazo 1741 zikiwa za madereva huku 363 kutoka maeneo tofauti ya ndani mwa Uganda.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger