
Trump alimjibu hapaswi kuulizwa kwanini Wamarekani wengi wanazidi kupoteza maisha wakati sehemu nyingi duniani watu wanapoteza maisha hivyo sio swala la ajabu huku akisisitiza kuwa swali hilo wanapaswa kuulizwa China kwa kuwa wao ndio wameleta Corona na sio Yeye.
Baada ya kuona mwandishi anahitaji kujibiwa swali lake Trump akaona isiwe tabu akaamua kuondoka zake.
Trump aliulizwa kuwa “Why is this a global competition to you if every day Americans are still losing their lives and we’re still seeing more cases?”
0 comments:
Post a Comment