Sunday, 19 April 2020

Wenye Virusi Vya Corona Nchini Kenya Wafika 270....Ni Baada ya Wengine 8 Kuongezeka Leo

...
Naibu Waziri wa Afya nchini Kenya, Dr Mercy Mwangangi amesema watu wawili wamefariki kutokana COVID-19 nchini humo, ambapo hivi sasa jumla ya watu 14 wamefariki tangu kisa cha kwanza kiliporipotiwa.

Pia watu 8 wamepatikana na maambukizi na kufanya idadi yao kufikia 270.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger