Thursday 30 April 2020

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira Athibitisha Kuambukizwa Ugonjwa wa Corona

...
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira ametangaza kuwa ameambukizwa virusi vya corona vinavyosababisha homa ya COVID-19.

Kiongozi huyo amesema, hafahamu ameambukizwa lini virusi hivyo na kwamba aliamua kupima kwa sababu kazi anazofanya zinahusisha muingiliano mkubwa na watu.

“Nimepima na matokeo yamekuja yameonesha nimeambukizwa virusi vya corona, sioni dalili za ugonjwa sina homa sikohoi lakini vipimo vimeonesha, hii ni dalili kwamba Watu wengi tunaweza kuwa tunetembea tukiamini tuko salama kumbe hatuko salama, sijui niliambukizwa lini “ – RC Mghwira


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger