Monday 27 April 2020

Wenye Virusi Vya Corona Nchini Kenya Wafika 363....Ni Baada ya Wengine 8 Kuongezeka

...
Waziri wa afya nchini Kenya Mutahi Kagwe ametangaza kwamba watu 8 zaidi wamethibitishwa kuambikizwa virusi vya corona. Idadi ya Walioambukizwa Virusi hivyo nchini humo sasa imefika 363

Wanne kati ya hao 8 wanatokea Mombasa huku waliosalia wakiwa ni wakazi wa Nairobi

Aidha, watu 8 pia wamethibitishwa kupona na kufikisha jumla ya idadi hiyo kufikia 114.

Wote walioambukizwa hawana historia ya kusafiri  nje ya nchi ikiwa ni sawa na kusema kwamba maambukizi hayo sasa ni ya ndani kwa ndani.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger