Wednesday 29 April 2020

Breaking : MBUNGE WA SUMVE RICHARD NDASSA AFARIKI DUNIA

...

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema Mbunge wa Jimbo la Sumve Mhe. Richard Ndassa (CCM) amefariki dunia leo Jumatano Aprili  29,2020.

Page Liked · 30 mins 

Miaka hii mitatu imenikumbusha sana namna tulivyo viumbe dhaifu hapa duniani na kwamba hakuna jambo moja lililo la uhakika kwenye maisha yetu. Maana leo upo, na kesho haupo. Sekunde hii Mzima, na ijayo hujui nini kitatokea. Tuswali sana na kuomba radhi za Allah ndugu zangu. RIP Mzee wangu, Mhe. Ndasa.

Tutawalete taarifa kamili hivi punde..
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger