Saturday, 18 April 2020

Wenye Virusi Vya Corona Nchini Kenya Wafika 262....Ni Baada ya Wengine 16 Kuongezeka Leo

...
Watu 262 wamebainika kuwa na ugonjwa wa virusi vya Corona nchini Kenya baada ya kuongezeka maambukizi mapya 16 ndani ya saa 24.

 Vifo sasa vimefikia 12, waliopona Corona 60. Watu hao 16 waliobainika kuwa na Corona nchini humo 15 wanatoka Kenya na mmoja ni raia wa kigeni.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger