Wednesday, 22 April 2020

TAKUKURU SHINYANGA YAOKOA MILIONI 118.8 KUTOKA VYAMA VYA USHIRIKA NA SACCOS...YATAHADHARISHA WANAOJIITA MAAFISA WA TAKUKURU

...

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga Hussein Mussa akizungumza na waandishi wa habari Mjini Shinyanga leo Jumatano Aprili 22,2020 ambapo amesema TAKUKURU mkoa wa Shinyanga imeokoa Tsh. Milioni 118,851,957/= kutoka Vyama vya Ushirika na Saccos.

Aidha ametahadharisha wananchi kuchukua tahadhari juu ya matapeli wanaojifanya kuwa ni maafisa wa TAKUKURU hivyo wananchi watoe taarifa katika ofisi ya TAKUKURU iliyo karibu pale wanapomtilia mashaka mtu anayejitambulisha kwao kuwa ni Afisa wa TAKUKURU.
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga Hussein Mussa akizungumza na waandishi wa habari Mjini Shinyanga leo Jumatano Aprili 22,2020












Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger