Wednesday, 22 April 2020

Rais Magufuli Kuzungumza na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhusu hali ya ugonjwa wa Corona Kuanzia Saa Tisa dk 45

...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atazungumza na Viongozi wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhusu hali ya ugonjwa wa Corona. 

Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-IKULU Gerson Msigwa imesema matangazo ya kikao hicho yatarushwa mubashara kutoka Chato Mkoani Geita kuanzia saa 9:45 alasiri leo Aprili 22, 2020.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger