Thursday, 16 April 2020

MWILI WA MWANAHARAKATI WA HAKI ZA WATU WENYE UALBINO JOSEPHAT TORNER WAZIKWA MKOANI SIMIYU

...
Mazishi ya Mwili wa Mwanaharakati wa kutetea Haki za watu wenye ualbino Josephat Torner Nkwabi (42) yamefanyika leo mchana Alhamis Aprili 16,2020 katika kijiji cha Mwamwenge kata ya Imalamate wilaya ya Busega mkoani Simiyu alikozaliwa.

Josephat Torner Nkwabi amefariki dunia Siku ya Sikukuu ya Pasaka Aprili 12,2020 majira ya saa mbili usiku baada ya kugongwa na Hiace 'Daladala' akivuka barabara jijini Mwanza .



Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger