Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa amri kwa wamiliki wa maeneo yote yanayouzwa pombe (Bar) kufunga biashara zao kila ifikapo saa tatu kamili usiku kuanzia jumatatu kwa lengo la kuepusha misongamano inayoweza kusababisha watu kuambukizana corona.
Ametoa agizo hilo jana April 17, 2020 baada ya kutembelea bar kadhaa na kukuta watu wakiwa kwenye misongamono iliyopigwa marufuku
"Walevi wanaoanza kunywa pombe kuanzia saa tatu kwenda mbele huwa hawana utambuzi wa kuachiana nafasi na kwa mantiki hiyo hupiga story na kushikashikana" -Alisema
Ametoa agizo hilo jana April 17, 2020 baada ya kutembelea bar kadhaa na kukuta watu wakiwa kwenye misongamono iliyopigwa marufuku
"Walevi wanaoanza kunywa pombe kuanzia saa tatu kwenda mbele huwa hawana utambuzi wa kuachiana nafasi na kwa mantiki hiyo hupiga story na kushikashikana" -Alisema
0 comments:
Post a Comment