Saturday, 18 April 2020

Mkuu Wa Mkoa Wa Mbeya Albert Chalamila Atoa Amri Baa Zote Zifungwe Saa Tatu Usiku Ili Kukabiliana Na Corona

...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa amri kwa wamiliki wa maeneo yote yanayouzwa pombe (Bar) kufunga biashara zao kila ifikapo saa tatu kamili usiku kuanzia jumatatu  kwa lengo la kuepusha misongamano inayoweza kusababisha watu kuambukizana corona. 

Ametoa agizo hilo jana April 17, 2020 baada ya kutembelea bar kadhaa na kukuta watu wakiwa kwenye misongamono iliyopigwa marufuku

"Walevi wanaoanza kunywa pombe kuanzia saa tatu kwenda mbele huwa hawana utambuzi wa kuachiana nafasi na kwa mantiki hiyo hupiga story na kushikashikana" -Alisema


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger