Sunday, 12 April 2020

Dudu Baya Aitwa Tena Kuhojiwa BASATA

...
Baraza la sanaa Taifa (Basata)  limemuandikia barua  mwimbaji maarufu nchini, Godfrey Tumaini 'Dudubaya' kumuita ili kwenda kujieleza  kutokana na kutumia lugha isiyo ya staha kwenye mitandao ya kijamii.
 
Dudubaya anatakiwa kuripoti keshokutwa Jumanne kwenye ofisi za makao makuu ya Baraza hilo.
 
Mwimbaji huyo ameiposti barua hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram na kukubali wito huo siku ya Jumanne.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger