Friday, 17 January 2020

Rwanda Yajiweka Kwenye Tahadhari Kubwa Kukabiliana na Nzige....Hadi sasa Wametafuna Hekta 70,000 za Mashamba Kenya, Somalia na Ethiopia

...
Rwanda iko kwenye tahadhari ya hali ya juu kufuatia uvamizi wa nzige unaoweza kutokea ambao kwa sasa wameonekana katika nchi kadhaa za Afrika Mashariki, zikiwemo Ethiopia, Kenya na Somalia. 

Waziri wa kilimo na rasilimali ya wanyama wa Rwanda Bibi Geraldine Mukeshimana amesema, wizara yake iko tayari kukabiliana na uvamizi huo wa nzige. 

Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa limesema, nzige wameharibu karibu hekta 70,000 za mashamba nchini Somali na Ethiopia, na kutishia utoaji wa chakula katika nchi hizo.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger