Monday, 13 January 2020

Breaking News : BASI LA BRIGHT LINE LAPATA AJALI SHINYANGA...KUNA VIFO NA MAJERUHI

...


Basi la Bright Line lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Dodoma limepata ajali katika eneo la Isela barabara ya Shinyanga - Tinde baada ya kugongana na gari dogo na pikipiki. Taarifa za awali zinasema kuna vifo na majeruhi kadhaa. Inaelezwa kuwa mwendesha bodaboda na abiria wake wamepoteza maisha bado wamelaliwa na basi. Tutawaletea taarifa kamili hivi punde





Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger