Sunday 29 May 2016

REAL MADRID MABINGWA WA UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2015/2016, WAWACHAPA ATLETICO KWA MATUTA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mshambuliaji wa Real Madrid,Christiano Ronaldo, akimalizia penati ya mwisho ameweza kuwainua mashabikki wa timu yake baada ya kutupia mkwaju wa mwisho kiufundi huku Atletico Madrid,wakikosa penati ya nne na kufanya matokeo kuwa Penati tano kwa 3.
MADRID 1   2  3  4  5
ATLETICO 1  2  3  X -

 Katika Dakika 90 za mchezo huo timu hizo zilitoka sare kwa kufungana bao 1-1, bao la Real Madrid likifungwa na Sergio Ramos katika dakika ya 15 kipindi cha kwanza akimalizia pasi ya kichwa cha utosi ya Bale, bao lililodumu hadi kumalizika kwa dakika 45 za kwanza.

Dakika ya 47, Atletico Madrid, walikosa penati iliyopigwa na Grezmann,baada ya beki wa Madrid, Pepe kumchezea rafu Fernando Tores katika eneo la hatari.

Atletico walisawazisha bao lao katika dakika ya 79, kupitia kwa Carasco, akiunganisha mpira wa krosi kutoka winga ya kulia.
 Tores akijaribu kumtoka beki wa Madrid, Ramos.....
Atletico wakishangilia bao la kusawazisha.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger