Monday, 23 May 2016

BREAKING NEWS:AJALI YA MELI KUZAMA ZIWA NYASA WATU 10 WAHOFIWA KUFA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Taarifa ya awali iliyoripotiwa na kituo cha television cha ITV muda mfupi uliopita imeeleza kuwa watu zaidi ya 10 wanahofiwa kufariki dunia katika ziwa nyasa baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoonekana kwa siku mbili huko Mbamba Bay mkoani Ruvuma. 
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger