Tuesday 24 May 2016

MPYA: TAARIFA KWA WAHITIMU WA CHUO CHA CBE WALIOGUSHI MALIPO YA ADA KAMPASI YA DODOMA,HAYA HAPA MAJINA YAO

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) anatoa taarifa kwa wahitimu wote waliomaliza Chuo cha Elimu ya Biashara Kampasi ya Dodoma waliohusika na kugushi Risiti za malipo ya ada. Wahitimmu hao wanaagizwa kulipa ada hizo kabla ya tarehe  31 Mei, 2016.
Kwa yeyote atakayekiuka agizo hili hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake; ikiwa ni pamoja na kufuta Tuzo za vyeti vyao vya kuhitimu Chuo cha Elimu ya Biashara na kuvibatilisha.
Ifuatayo ni orodha ya wahitimu walioghushi malipo ya ada:-
Waliogushi malipo lakini hawajachukua vyeti
Waliogushi malipo na walishachukua vyeti
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger