Monday 30 May 2016

BREAKING NEWS:Hoja ya dharura wanachuo 7000 UDOM: N/Spika aahirisha Bunge baada ya wabunge kwa pamoja kutoka nje

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Bunge limechafuka muda huu baada ya Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari kuomba mwongozo wa kujadili hoja ya wanafunzi zaidi ya 700 waliofukuzwa chuoni ijadiliwe kama hoja ya dharura.

Naibu spika akaendeleza ubabe hivyo wabunge wa vyama vyote walisimama na kutoka nje.


Chanzo:
Radio One


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger