Wednesday 25 May 2016

Breaking News : Serikali yavunja Bodi ya TCU,yawasimamisha kazi vigogo

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Image result for ndalichako  
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Prof. Joyce Ndalichako amevunja Bodi ya Tume ya Vyuo Vikuu nchini Tanzania(TCU ) kufuatia Tume hiyo kupitisha majina ya wanafunzi 486 wasio na sifa kusomea Shahada ya Elimu.

Pia,Waziri Ndalichako amewasimamisha kazi Maafisa kadhaa waandamizi wa TCU kwa kushindwa kusimamia na kutekeleza vyema wajibu wa TCU. Waziri Ndalichako amewateua Makaimu wa nafasi za waliosimamishwa.


Sababu kuu ni kupitisha majina 486 ya wanafunzi wasio na sifa, kusoma ST JOSEPH UNIVERSITY.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger