INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Rais wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha sua FRANCIS NDUNGURU anaesoma Kozi ya AGRIBUSSINES (AEA) 3rd year, amepigwa chini kutokana na kashfa za rushwa,uamuzi huo umefanywa na wabunge wa chuo hicho likiongozwa na spika mahiri amabae alisimama kidete,kura zilipigwa na ndipo matokeo yakatoka na kuonesha kwamba robo tatu hawana imani nae.
MASWAYETU BLOG ikiongea moja kwa moja na baadhi ya wabunge walikuwapo bungeni wamesema kwamba wameamua kumpiga chini kutokana na kuendesha serikali bila kufata sheria.
SOMA BARUA HAPO CHINI YENYE KASHFA ZAKE ZOTE.

0 comments:
Post a Comment