Saturday 2 April 2016

[PICHA]SHULE SEKONDARI BINZA (BINZA DAY) YAFANYA SHEREHE ZA MAHAFALI ZA KUWAAGA KIDATO CHA VI NA KUWAKARIBISHA FORM I 2016

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
(Hawa ni baadhi ya waagwa wakiwa wamependeza kwelikweli)
Binza secondary school ni moja ya shule iliyopo mkoani simiyu wilaya ya Maswa,ambayo leo hii wamefanikiwa kufanya mahafali ya kuwaaga wanafunzi wa kidato cha  sita na kuwakaribisha kidato cha kwanza mwaka wa 2016 ambao wanatarajiwa kufanya mitihani siku chache zijazo.

Katika mahafali hayo Mgeni Rasmi alikuwa Ni mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki(CCM) MH.Nyongo amabaye aliwakilishwa vizuri na kikamilifu na Mwl.Kabarata-Headmaster Shishiyu sec school,ambae kiujumla alifanya kazi yake aliyoagizwa na Mh.Mbunge kwa ustadi wa hali ya juu.

Maswayetu blog team inapenda kuwapongeza wanafunzi wote waliofanya mahafali yao kidato cha sita na kuwapongeza kidato cha kwanza kuchaguliwa kujiunga na shule kongwe na nzuri ya binza iliyopo maswa mkoani Simiyu.

Tazama hapo chini Matukio katika picha

(Mgeni Rasmi mwalimu kabarata akiwa ktk meza kuu wakati mahafali yakiendelea)









Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger